Wednesday 11 June 2014

Kwa elimu ya kisasa na bora kumbuka kumpeleka mtoto wako katika shule ya MOMOKORO ACADEMY iliopo mpakani mwa Tanzania na Kenya Isbania pia wanatoa Huduma kwa watoto wanaosoma dai au kutwa jirani na border pia wanachukuwa watoto kutoka wilaya ya Tarime kuwa mawasiliano zaidi piga simu number#+254722263884/+255764866448 nyote munakaribishwa...

 Basi mpya ya kisasa ya Momokoro Academy...
 wanafunzi wa darasa la saba



 wanafunzi wakiwa na manager wa shule.

 Manager wa Momokoru Academy

 walimu wa Momokoru Academy



 walimu na viongozi mbali mbali katika picha ya pamoja..





 wanafunzi wakifurahia kumaliza masomo na kuwa tayari kurudi nyumbani.



 majengo mpya ya maktabaa napia madarasa mpyaa
 Tank la maji iliopo shuleni..
 basi ikiwa tayari kuondoka na wanafunzi ambao wanaishi Tarime pamoja na Sirari nchini Tanzania.

 Bweni nzuri na ya kisasa.

 Madarasa mbali mbali



No comments:

Post a Comment