Monday 20 April 2015

Chadema watikisa Musoma Mjini..

Chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA)watikisa Musoma mjini siku ya jana tarhe 19/04/2015 katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo ukiongozwa na Naibu katibu Mhe John Mnyika na viongozi mbali mbali wakanda ya Serengeti akiwemo mjumbe wa kamati ya Chadema taifa Alex Kisurura Malima ambye pia nia Meya wa Musoma Mjini.tazama picha mbali mbali ya jana...
 Naibu katibu mkuu Chadema John Mnyika akiwahutubia wana wa Musoma MJINI






 wanainchi wakimpa mkono wa pongezi katibu mkuu




 wanainchi wakitoa mchango wa mafuta hiyo jana



 Msafara wakusindikiza Mnyika ofisi za Chadema Musoma mjini.
  Msafara wakusindikiza Mnyika ofisi za Chadema Musoma mjini


 akiwashukuru wanainchi waliojitokeza kumsindikiza.
 akiwashukuru wanainchi waliojitokeza kumsindikiza
  akiwashukuru wanainchi waliojitokeza kumsindikiza

No comments:

Post a Comment